Kosi kwa walimu wa shule ya Jumapili

Wewe ni mwalimu wa shule ya Jumapili au unapenda kuwafundisha watoto. Katika kosi hii utapata mawaida jinsi ya kuwafundisha watoto ili wafahamu Biblia na imani katika Kristo.

Yaliyoma

Wewe ni mwalimu wa shule ya Jumapili? Kazi hiyo ni muhimu sana kujenga mtu, jamii, kanisa hata taifa. Tunapenda kukusaidia kufanya kazi hiyo vizuri zaidi. Katika kosi utajifunzi jinsi ya kuwafikia watoto kulingana na rika zao. Pia utapata kitabu kinachokusaidia kuwafundisha watoto mwaka mmoja mzima.

Yaliyomo ya kosi:
Tunatumia kitabu cha CLMC (Christian Learning Material Centre)

Kwa jumla:
Karo inagharamia masomo, kukaa, chakula na vifaa vingine.
Pesa za kujiandikisha ni sehemu ya karo.
Mtu akikosa kujiandikisha vizuri anaweza kukosa nafasi.
Baada ya kosi mwanafunzi atapata cheti cha Discipleship Training.

Masharti ya kujiunga:

  • Umeokoka
  • Una ushuhuda mzuri kanisani na nje.
  • Umri wako ni miaka 19 au Zaidi.
  • Unaweza kusoma na kuandika Kiswahili.
  • Unafanya huduma kanisani au unajitayarisha kufanya.
  • Ujiandikishe kirasmi na pesa za kujiandikisha (KSH 500)
Image

Tarehe

6th – 12th Oct. 2024 (wiki 1)

Image

Karo

KSH. 2,500

Image

Lugha

Kiswahili

Yaliyomo

  • Jinsi ya kuongoza mtoto kwa Yesu.
  • Rika za watoto.
  • Jinsi ya kutayarisha somo.
  • Kutumia vifaa katika somo.

Cheti cha Huduma ya Kikristo

Wanafunzi watapata Cheti cha HUDUMA YA KIKRISTO baada ya kumaliza Discipleship Training (wiki 10), Biblia na Huduma (wiki 10), Kazi ya nyumbani.
Wanafunzi wanaweza kumaliza sehemu zote 3 kwa wakati wao wenyewe

Placeholder

Sehemu ya 1 - Discipleship Training

wiki 10


Placeholder

Sehemu ya 2 - Biblia na Huduma

Kuijua Biblia (wiki 4), Huduma kanisani (wiki 4), Umisheni (Kampeni) (wiki 2)

Placeholder

Sehemu ya 3 - Kazi ya nyumbani

Kosi kwa walimu wa shule ya Jumapili